YAYA TOURE ASHINDA TENA KWA MARAYA TATU TUZO YA MCHEZAJI BORA BARANI AFRIKA
Yaya Touré, kiungo wa Ivory Coastamechaguliwa kwa mara ya tatu kama mchezaji bora wa mwaka barani Afrika

Mchezaji huyo ameshinda baada ya kupigiwa kura na makocha wa timu za taifa za Afrika. Abedi Pele wa Ghana alishinda tuzo hiyo kwa mara tatu mfululizo kuanzia 1991–93 wakati mchezaji wa Cameroon Samuel Eto’o akishinda kuanzia 2003-05 na kushinda tena mwaka 2010
No comments:
Post a Comment